Wayne Rooney na mke wake, Coleen watarajia mtoto mwingine

Mke wa Wayne Rooney, Coleen mwenye miaka 31 ametangaza habari hizo kwa wafuasi wake 1.25 milioni kwenye Twitter na kusema kwamba anaweza kuwatangazia watu kwani amepimwa na kuchunguzwa vyema. Mrembo huyo Ijumaa hii kupitia twitter ameandika: “Nina furaha sana!!! ….. Sijawahi kukanusha habari hizi, lakini nilikuwa ninazilinda vyema!! Nimepimwa & na kuchunguzwa na kila kitu…

JAY-Z Kafunguka kuhusu beef na Future na Kanye West,Kuchukiwa kwa TIDAL,Kuacha kufanya video za Muziki

JAY-Z>Kuhusu beef Na Future>Sina tatizo na Future,Sina sababu ya kumwaibisha,Yale ni mambo ya Rap Tu,Ni mambo Nyeti ya Rap JAY-Z>Kuhusu kufanya video za Muziki>Sifanyi Video za Muziki,Nafanya makala,Nataka video zangu zionyeshe nachosema kwenye Wimbo,Kama Cartoon ya O.J Stori JAY-Z>Kuhusu nyimbo na album kwenye chati za billboard>Sio muhimu billboard kuweka album zangu,Bora album Imenunuliwa,Imewafikia watu,Pesa imeingia,watu…