BREAKING: Tundu Lissu atolewa ICU, na zile mashine mwilini?
Zifuatazo ni updates kuhusiana na hali ya kiafya ya Mbunge wa Singida Mashariki ambae pia ni Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu ambae alipigwa risasi nyumbani kwake Dodoma. Baada ya kulazwa Hospitali Nairobi Kenya kwa muda wote huo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kimezungumza leo na kusema hali imebadilika.…